UCHAGUZI MAREKANI: Karibia asilimia 50 ya Wamarekani Hawakupiga Kura

UCHAGUZI MAREKANI: Karibia asilimia 50 ya Wamarekani waliostahili kupiga kura hawakupiga kura katika Uchaguzi wa Urais uliomalizika jana.
Asilimia 25.6 walimpigia kura Hillary Clinton na asilimia 25.5 walimpigia kura Rais Mteule Donald Trump.
Donald Trump alishinda kwa idadi kubwa ya wajumbe kwa kushinda kwenye majimbo
UCHAGUZI MAREKANI: Karibia asilimia 50 ya Wamarekani Hawakupiga Kura
 
        Reviewed by Unknown
        on 
        
20:58:00
 
        Rating: 
 
        Reviewed by Unknown
        on 
        
20:58:00
 
        Rating: 
Hakuna maoni: