Donald Trump Kuwarejesha Wahamiaji Marekani Kwao

Katika mahojiano na kituo cha televisheni cha Marekani,CBS, Trump amesema wahamiaji wote wenye rikodi za uhalifu, ikiwemo makundi ya wahalifu na walanguzi wa dawa za kulevya ndio watakuwa kipaumbele chake .
Hatma ya wahamiai haramu milioni nane na ushee waliosalia itafahamika mara tu mpaka utakapokuwa salama.
Donald Trump ameongeza kuwa semhemu ya ukuta ambao aliahidi kujenga kwenye mpaka baina ya nchi yake na Mexico, unaweza kuwa ni uzio.
Donald Trump Kuwarejesha Wahamiaji Marekani Kwao
 
        Reviewed by Unknown
        on 
        
06:03:00
 
        Rating: 
 
        Reviewed by Unknown
        on 
        
06:03:00
 
        Rating: 
Hakuna maoni: