Picha,Aliyeharibu vibaya nyota ya Donald Trump ya Walk of Fame kushtakiwa.

Polisi wa mjini LA wamesema mtuhumiwa aliyeharibu nyota ya #HollywoodWalkOfFame ya Donald Trump atafunguliwa mashtaka.
Polisi wanasema ni vizuri mwanasheria wa serikali akamfungulia mashtaka jamaa huyu anayefahamika kama James Otis kwa kuvunja nyota ya #HollywoodWalkOfFame ya Donald Trump .
Otis anasema uharibifu huo aliofanya kama njia ya kupinga kampeni ya Trump. Otis anaweza kufungwa miaka mitatu jela kama atakutwa na hatia.
1026-donald-trump-star-tmz-getty-4 trump-2

Picha,Aliyeharibu vibaya nyota ya Donald Trump ya Walk of Fame kushtakiwa. Picha,Aliyeharibu vibaya nyota ya Donald Trump ya Walk of Fame kushtakiwa. Reviewed by Unknown on 10:13:00 Rating: 5

Hakuna maoni:

Facebook

klin zepp. Inaendeshwa na Blogger.