Jumamosi, 29 Julai 2017

SALAMU za Rais wa TFF, Jamal Malinzi Kutoka Gerezani Hizi Hapa

Rais wa TFF anayemaliza muda wake Jamal Malinzi amewatumia salamu viongozi wa TFF na kuwatakia uchaguzi mwema unaotarajiwa kufanyika mwezi Agosti mwaka huu.

Aidha, Malinzi katika salamu hizo, ameishukuru Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli, wadhamini mbalimbali, washirika na wadau wa soka kwa ushirikiano walioutoa katika kipindi chote cha uongozi wake.

Salamu hizo ambazo zimetolewa kupitiwa kwa mawakili wake zilieleza kuwa anaamini kwamba TFF watafanya uchaguzi vizuri na viongozi watakaopatikana wataweza kuendeleza programu muhimu.
Malinzi alilazimika kujiondoa kwenye uongozi wa TFF na kushindwa kutetea nafasi yake baada ya kuwekwa rumande tangu Juni 29 kwa tuhuma za ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka.

Malinzi, Katibu wake, Selestine Mwesigwa pamoja na Mhasibu wa TFF, Nsiande Isawafo Mwanga walipelekwa rumande Juni 29 baada ya kusomewa mashitaka 28 ya kughushi na kutakatisha fedha kupitia akaunti ya TFF iliyopo katika banki ya Stanbic, Dar es Salaam

Usimwamini Mwanamke Hata Kama Unamtania


Aliesema "USIMWAMIN MWANAMKE
HATA KAMA UNAMTANIA" hajakosea
huu msemo umekamilika na wala
hauna mapungufu yoyote kabisa
twende pamoja ili uuamin huu msemo
kama upo chuo kimoja au shule moja
au wote mpo facebook au twitter bbm
ndio utaamin kwa sana huu msemo
Mnunulie gift yoyote eg. Card, toy
maua au kitu chochote mpenzi wako
kaa siku mbili muulize ile gift unayo
utakuta kashahonga na yeye kashampa
bwana ake mwingine
Buni sms ya ukweli kisha msifie alafu
umtumie balaa lake utaona kesho na
yeye kashamtumia bwana ake mwingine
Mpe hela labda laki hivi mwambie hii
nenda kasuke na uitumie na matumizi
yako mengine hapo hapo nusu ya hela
yako anapewa mwanaume mwingine
Mtoe out muoneshe sehem nzuri za
kukuaa mtu na mpenzi wake kesho tu
atakuomba hela alafu atakapeleka ka
bwana chake sehem ambayo umemuonesha
Mwambie siri zako zote uone anavyozianika
mwambie baby kesho njoo hom peke
ako nataka tutoke uone wanavyokuja
hostel nzima balaaaa kinomaa
mpangishie chumba kitanda chako
kodi unalipa wewe hela kula unamwachia
pata dharula safiri umwache peke ake
uone unavyosalitiwa kwenye kitanda
chako shuka lako chakula chako

Hivi Unajua Kidevu Kina Raha yake Katika Mapenzi Hasa Kile Chenye Ndevu?


Kuna sehemu kibao ambazo ukizitumia kumpatia mwanamke raha atajisikia faraja sana kuliko kuwa unakalili baadhi ya sehemu ambazo zimekuwa yeboyebo.
Kama mwanaume unatakiwa kuwa mbunifu ili kumpatia mpenzi wako raha yaan hata kama anakusaliti akienda nje apadharau na aone kwako pako tofauti na pengine.
Nadhan hakuna mtu asiyekifahamu kidevu cha binadamu ila hapa nazungumzia videvu vya wanaume maana wanaume ndo wanahusika sana hapa, leo nakupa njia ya kuchezea sehemu ya ikulu kwa mpenzi wako mpaka akahisi raha fulani tofauti


JINSI YA KUKITUMIA KIDEVU ILI KUMPA RAHA MWANAMKE.


Hakikisha mwanaume unanyoa ndevu zako unaacha ndevu za wastan zinazozunguka kidevu ila kama huna ndevu hapa hapakuhusu maana mwanaume ndevu kaka,ndevu ziwe za wastan zisiwe kubwa sana maana zikiwa kubwa sana itakuwa kero na mpenzi wako mwambie naye anyoe au ww mwenyewe waweza mnyoa maana kufanya hivyo vile vile ni kumpatia raha mpenzi wako.
Zoezi hili linatakiwa lifanywe siku moja au 2 baada ya kunyoa yaan mwanaume awe amenyoa na mwanamke awe amenyoa baada ya cku moja ndo mchezo huu ufanyike.
Sasa ukiwa kama mwanaume unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha unamvua mpenz wako nguo kisha unamlaza kitandan kwa style ya kifo cha mende afu unampanua miguu kidogo kisha unapiga magoti afu unainama kama unataka kuzama chumvini huku mikono yako miwili ikiwa inayashikashika maziwa yake taratibu huku unazibinya chuchu zakle polepole, baada ya kuinamia kwenye bustani* hakikisha kidevu chako kinagusa sehemu ambayo huwa kuna mavuzi ya mwanamke yaan kutoka kwenye kisimi unapanda juu namaanisha pale ambapo mavuz huwa yanakuwa mengi.
Kiweke kidevu chako anza kukisugua hapo kwenye hayo mavuzi ambayo yatakuwa yamenyolewa kiasi maana hutakiwi kunyoa kipara,anza kuzungusha kidevu juu kutoka kushito kwenda kulia na huku unachezea maziwa yake bila kusahau kutoa miguno ya kimahaba kwa wote wawili maana kufanya hivyo kutaongeza hamasa.
Fanya hivyo mara nyingi huku unagusa baadhi ya sehemu za mwili wa mpenzi wako ambazo zinagusika kwa urahisi afu utanipa jibu.

MWANAMUZIKI Country Boy na Wema Sepetu Kunani...? Wema Afanya Hili Jambo Kwake

Rapper Country Boy amepata kigugumizi kueleza ni kwanini mrembo Wema Sepetu ameweka link ya video yake mpya katika bio yake ya instagram.


Country Boy ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ya Turn Up aliyomshirikisha Mwana FA, ameiambia Times Fm kuwa Wema ana nafasi kubwa katika muziki wake ila hakutaka kuliongelea kiundani zaidi suala hilo.

“Wema ana play part kubwa lakini nadhani ni suala ambalo mimi siwezi kuliweka official kwa sababu sijaruhusiwa kuongea chochote, ila ambacho naweza kukiongelea link inapatia pia kwa Madam. Hillo swali nilikuwa na expect kuulizwa sana lakini uongozi umeniambia Wema mwenyewe atawapeni maelekezo, mtaelewa kwanini ameweka katika bio yake ile link,” amesema Country Boy.

Pia ameongelea mafanikio iliyopata tangu ngoma yake ya Turn Up ilipotoka mwaka huu na kueleza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kuja kufanya kazi na Patoranking kutoka Nigeria.

“Ngoma yenyewe inakupa ile confidence ya kuongea na mtu yeyote kwa sababu production ni kubwa na imekaa kimataifa zaidi, ngoma ni kali nimepita melody ambazo zinatrend duniani.  Nimeweza kuwashawishi baadhi ya wasanii wakubwa ambao ninaweza kufanya nao kazi lakini kwa uhakika zaidi, mtu ambaye tumefikia hatua za mwisho ni Patoranking,” amesema Country Boy.

Bongo5

SAMATTA AANZA NA BAO KRC GENK ,TIMU YAKE IKIBANWA MBAVU LIGI KUU YA UBELGIJI


KRC Genk imepata sare ya mabao 3-3 ikiwa nyumbani dhidi ya wageni Waasland-Beveren.Mshambulizi Mtanzania, Mbwana Samatta amefunga bao la pili ambalo lilikuwa la kusawazisha.Wageni Waasland-Beveren walipata mabao mawili ya harakaharaka na kuongoza kwa 2-0.Lakini Genk ilisawazisha kupitia Naranjo kabla ya Samatta kufunga la pili na Leandro Trossard kufunga la tatu lakini wageni wakakomaa na kusawazisha katika dakika ya 90 kupitia Zinho Gano.

VIKOSI:
KRC Genk
Jackers – Nastić, Brabec, Colley, Khammas (63. Maehle) – S. Berge, Trossard, Malinovskyj (67. Naranjo) – Buffel (C), Samatta, Manuel (46. Schrijvers).
Waasland-Beveren
Goblet – Jans, Moren, Camacho, Demir – Seck (C), J. Cools – Myny (63. Boljević), Morioka, Opoku Ampomah (75. Cerigioni) – Gano.

Alhamisi, 27 Julai 2017

Tiketi za kuuona mpambano kati ya Mayweather na McGregor $150000 Dakika 29 zilizopita


Mayweather na McGregor wakitambiana
Image captionMayweather na McGregor wakitambiana
Tiketi za kushuhudia mpambano wa masumbwi kati ya Floyd Mayweather dhidi ya Conor McGregor zinauzwa kwa dola 150,000.
Mpambano huo unatajwa kuwa wa gharama zaidi kuwahi kutokea na tiketi kwa sasa zinauzwa kama njugu.
Unatarajiwa kupigwa Agosti 26 katika uwanja wa T-Mobile mjini Las Vegas utakaoingiza watu elfu 20.
Mayweather mwenye miaka 40 awali alistaafu lakini amerejea kupambana na McGregor

PETER Msechu Aponzwa na Kauli ‘Nafumaniwa Kila Siku Mtaani Kwetu’


Muimbaji Peter Msechu alijikuta matatizoni wiki iliyopita baada ya kutoa kauli ya mzaha kwamba yeye ni mtu anayefumaniwa kila siku mtaani kwake.

Msechu amedai muda mchache baada ya kauli hiyo kusambaa mke wake alianza kupigiwa simu na watu mbalimbali kitu ambacho kilimfanya achanganyikiwe.

Kauli hiyo aliitoa Msechu baada ya kuulizwa swali na kituo kimoja cha redio kwamba wasichana wengi hawapendi kutoka kimapenzi na wanaume wenye vitambi ndipo muimbaji huyo akajibu mbona yeye mtaani kwake wasichana wengi wanamgombania huku akidhihaki tena ameshikwa ugoni mara kadhaa.

Akiongea Jumatano hii katika kipindi cha Yaliyomoyamo cha Redio One Stereo, Msechu amedai kauli hiyo aliitoa kwa mzaha na baadhi ya watu walishindwa kuielewa.

“Yaani baada ya ile kauli kusambaa hawakunitafuta mimi wala media, wakatafuta mzazi wangu, nilikwambia mwanao mwambie aache muziki sasa angalia anafumaniwa kila siku. Mke wangu akajazwa maneno ametoka ofisini amedata,” alisema Msechu.

Katika hatua nyingine muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo ‘Yakawa’ amedai muziki kwa sasa unawafanya wasanii kubadilisha aina ya muziki waliokuwa wanafanya awali na kuingia kwenye muziki wa kutegemea kiki.

Umesikia Habari ya Simba Kuchapwa Bao 7 Mechi ya Kirafiki



Uongozi wa Klabu ya Simba wenye makao makuu yake Msimbazi Jijini Dar es Salaam umekanusha vikali taarifa iliyotembea katika mitandao ya kijamii inayodai timu hiyo imechapwa bao 7-0 katika mchezo wao wa kirafiki dhidi ya Royal Eagles ya nchini Afrika Kusini walipoweka kambi yao.

Hayo yameweka bayana na taarifa iliyotolewa na msemaji wa timu hiyo Haji Manara na kusema kama kweli wamechezea kichapo hicho kutoka kwa timu ya daraja la kwanza hakuna mtanzania asingeweza kuona matokeo hayo katika vyombo vya habari kutokana na sasa utandawazi umetawala.

"Kiukweli Simba haina rekodi za hovyo kama hizo kokote inapocheza duniani na haijawahi kufungwa na klabu yoyote idadi ya magoli kama hayo, kama zilivyo timu nyingine nchini hususan Klabu ambayo mashabiki wake ndiyo wanaozusha upuuzi huo", amesema Manara.

Kwa upande mwingine, Manara amewataka watanzania na mashabiki wa wekundu wa msimbazi watambue kuwa siku zote walizokuwa huko nchini Afrika Kusini, benchi lake la ufundi limejikita katika kutengeneza miili ya wachezaji kistamina ili iweze kufanya vizuri katika michezo yake ambayo ipo usoni kuanza.

Baraka The Prince Aendelea Kuiponda Lebo ya Ali Kiba RockStar4000...Afunguka Haya Mengine



Msanii Baraka The Prince amefunguka kwa kudai sababu kubwa zilizomfanya yeye kujiengua katika usimamizi wa kampuni ya RockStar4000 ni kutokuwa makini na ukweli katika kazi wanazozifanya dhidi yake.

Baraka amebainisha hayo kupitia kipindi cha eNewz kutoka EATV baada ya kuona takwimu zake zimezidi kushuka katika kazi zake alizokuwa anasimamiwa na uongozi huu pamoja na kutolewa nyimbo moja kwa mwaka tofauti na yeye alivyokuwa anategemea atafanya.

"Nimeamua kufanya hivyo kwa sababu hii ndiyo kazi yangu na mwisho wa siku hii mimi ndiyo kila kitu na sina kazi nyingine, kwa hiyo nikiona kuna vitu havipo 'serious' na havipo 'sure' kwa upande wa watu ninaofanya nao kazi sina budi kujiengua na kufanya mwenyewe. Nipo sawa na hakuna mtu ambaye anaweza kuniingilia juu ya hilo mwisho wa siku mimi ndiyo ninajua kazi ninayofanya na ugumu wake katika kujenga 'brand' yangu, najua ugumu wa kila kitu 'so' haya ni maamuzi yangu", amesema Baraka.

Pamoja na hayo, Baraka ameendelea kwa kusema "mimi ndiyo mwenye kauli ya mwisho. Sitaki kuongelea masuala ya mikataba kwa sababu kipindi nina saini tokea awali sikuweza izungumzia wakati naingia kwa hiyo sitasema lolote juu ya hilo kwa sasa",amesisitiza Baraka.

Kwa upande mwingine, Baraka amesema yeye hafanyi muziki kwa ajili ya menejementi bali anafanya muziki kwa mashabiki wanamuwezesha kumlipa katika nyimbo zake wanazozipakua katika mitandao

Jumatano, 26 Julai 2017

Ajinyonga Baada ya Kugundua Mkewe Anashiriki Mapenzi ya Jinsia Moja


Mwanaume Mmoja Nchi Kenya amejinyonga  hadi kufariki kutokana na kugundua mke wake anashiriki mapenzi ya Jinsia moja (Usagaji).

inadaiwa kuwa Mwanamke huyo alitoroka nyumbani kwake kwenda kwa Mwanamke anayeshiriki naye mapenzi hayo ya Usagaji.

Mwana FA na AY Kuikaba Koo TIGO....Kulipwa Sh Bil 2


Wasanii wakongwe wa Bongo Flava, Ambwene ‘AY’ Yesaya na Hamisi ‘Mwana FA’ Mwinjuma wameendelea kupeta mahakamani wakitarajiwa kulipwa kiasi cha shilingi bilioni 2.1 na kampuni ya Mic Tanzania Limited.

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali maombi ya Kampuni hiyo ya huduma za simu za mkononi iliyotaka kukata rufaa katika Mahakama ya Rufaa kupinga amri ya kutakiwa kuwalipa wasanii hao kiasi hicho cha fedha.

Hivi karibuni, Mahakama Kuu ilihalalisha uamuzi wa Mahakama ya Wilaya iliyoikuta na hatia ya kutumia bila kibali nyimbo za wasanii hao kama miito ya simu na kuitaka kuwalipa kiasi hicho cha fedha.

Wakili wa wasanii hao, Albert Msando aliweka pingamizi akiiomba Mahakama Kuu kuyakataa maombi yaliyowasilishwa na wanasheria wa kampuni ya Mic kwa madai kuwa ni batili kwani yalikuwa na makosa ya kisheria.

Jaji Isaya Arufani wa Mahakama Kuu alikubaliana na maelezo ya Wakili Msando na kuyatupilia mbali maombi ya wanasheria wa kampuni hiyo. Bado haijafahamika kama watafanya marekebisho na kurejesha maombi mapya au la.

AY na Mwana FA wanadai kuwa kampuni ya Mic Tanzania Limited ilitumia bila ruhusa yao nyimbo zao ‘Usije Mjini’ na ‘Dakika Moja

Nigeria Yaongoza Afrika Orodha ya nchi 10 duniani Ambazo Wanaume Huridhisha wake zao kitandani


Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa na misukosuko ya maisha, ukosefu wa chakula, magonjwa na kipato inaelezwa kuwa ndiyo sababu ya bara la Afrika kuwa la mwisho kwenye orodha ya nchi zenye wanaume ambao wanawaridhisha wake zao kwenye ndoa wakiwa faragha.

Kwa utafiti uliofanywa na mtaalamu wa masuala ya ya mahusiano an aliyebobea kwenye masuala ya ndoa, Bi Victoria Milan kupitia mtandao wake wa victoriamilan.com unaojihusisha na masuluhisho, ushauri na takwimu mbalimbali za mahusiano mtafiti huyo amesema nchi za Ulaya, ndiyo zinaongoza kwa wanaume kuwaridhisha wake zao kwenye ndoa ukilinganisha na mabara mengine kama Amerika, Asia na Afrika.

Bi Milan amesema kwenye utafiti huo alitumika idadi ya watu 9,165 walio kwenye ndoa kutoka nchi 80 za mabara ya Afrika, Ulaya, Asia na Amerika ya Kusini/Kaskazini ambapo kila nchi alihoji ndoa 80 hadi 82 kutokana na idadi ya watu wa nchi husika.

Kwenye takwimu hizo alipata wastani wa muda wa wapenzi wanaotumia wakiwa faragha kwa kila mzunguuko mmoja ambapo wastani wa nchi za Ulaya ulikuwa ni dakika 32.1 kwa kila mzunguumko mmoja wa tendo la ndoa ambapo nchi zilizoongoza ni Denmark, Finland na Sweden.

Bara lingine ambalo limefuatia ni Amerika ya Kaskazini/Kusini ambapo wastani wao ni dakika 23.4 wakiongozwa na nchi za Marekani na Canada.

Bara la tatu ni Asia na la mwisho kwenye utafiti huo ni Afrika ambapo wapenzi walio kwenye ndoa hutumia wastani wa dakika 5 kwa mzunguuko mmoja na nchi zinazoongoza kwa kukaa muda mrefu kwa mzunguuko mmoja ni Nigeria na Afrika Kusini.

Orodha ya nchi hizo ni kama ifuatavyo NB: Huu ni muda ambao wanaume hutumia kwa kila mzunguuko mmoja bila ya maandalizi.

1- Denmark Dk 43

2-Marekani Dk 41

3- Finland Dk 39

4- Canada Dk 36

5- Norway Dk 34

6- Uingereza Dk 33

7- Ujerumani dk 31

8- Czech Republi Dk 29

9- Ireland Dk 27

10- Austria Dk 27

Kwenye orodha hiyo ya 10 bora duniani hakuna hata nchi moja kutoka Afrika ingawaje nchi ya Nigeria imeingia kwenye 20 bora kwa kushika nafasi ya 19 ikiwa nawastani wa dakika 20 ikifuatiwa na Afrika Kusini nafasi ya 20 ikiwa na Wastani wa dakika 18 pekee.

Sababu kubwa zilizotajwa kwa wanaume wengi kwenye ndoa kutumia muda mfupi kwenye tendo hilo ni uvivu, Mazoea, majukumu ya kila siku, msongo wa mawazo na aina ya vyakula .

“Wakati nafaya utafiti wanandoa wengi hususani wanawake walisema kabla ya ndoa wenza wao walikuwa wakitumia muda mwingi kuwaandaa na hata kwenye tendo lenyewe lakini baada ya kuishi nao walianza kupoteza uwezo wao kitandao”,amesema Bi Milan kwenye mdahalo wa kipindi cha Loose Women kinachorushwa na kituo cha itv cha Uingereza .

Hata hivyo kwenye utafiti huo amebaini kuwa Wanawake ambao wanaridhishwa na wenza wao bado wanaonekana ni vijana wenye afya na nyuso zenye furaha ukilinganisha na wale ambao hawaridhishwi kwenye tendo la ndoa.


Deni la ACACIA: Mdau Mmoja wa Kigeni Kanena Haya Mtandaoni

....

Kaandika:

Doing business in Tanzania-Going to the moon is cheaper.

Akaongeza:

That US $190 billions is 10 times the budget for NASA.

Akamalizia:

May be the Goverment of Tanzania is planning space programme with Acacia billions.

Naona hata CNN nao wameripoti hii habari.

My take:

Hii inaweza kutuathiri sana katika uwekezaji.

Jumatatu, 24 Julai 2017

Ebitoke: Ben Pol si Chochote Mpaka Leo Bado Hajaweza Kunitoa Bikira


Msanii wa vichekesho Ebitoke amefunguka na kusema Ben Pol mpaka dakika hii bado hajafanikiwa kufungua mlango wa binti huyo hivyo anadai mpaka sasa bado hajawahi kulala na mwanaume yoyote yule katika maisha yake.

Ebitoke amesema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Friday Night Live (FNL) kinachorushwa na ting'a namba moja kwa vijana EATV na kudai Ben Pol bado hajafanikiwa kumuondoa bikra.

Ben Pol na Ebitoke wanadaiwa kuwa ni wapenzi wenye malengo ya mbali ikiwa ni pamoja na kupeana support katika kazi zao za sanaa, ingawa wapo baadhi ya watu ambao wanaona kama watu hao wanafanya maigizo na mapenzi yao kuonekana kama njia ya kujitangaza na kuzidi kupata kiki katika kazi zao, ingawa kwa Ben Pol siku ya Jumamosi alikiri kuwa kwa mara ya kwanza kukutana na Ebitoke walikutana Bahari beach na kuzungumza mambo mengi zaidi ya mapenzi yao

Waliamsha Dude la Bifu Upyaaaaa........Kisa Kizima Hichi Hapa

Flora Mbasha na Mumewe wa Zamani 

Waimba Injili Bongo ambao walikuwa wanandoa kabla ya kutalikiana mahakamani, Flora Daud Kusekwa ‘Madam Flora’, zamani alikuwa akitambulika kama Flora Mbasha na Emmanuel Mbasha wameonekana kuliamsha dude la bifu lao upyaa, Ijumaa Wikienda linakupa mkanda kamili.

Kikizungumza na Ijumaa Wikienda kwa sharti la kutotajwa gazetini, chanzo makini cha sakata hilo kilielezwa kuwa, wawili hao kwa sasa wameingia kwenye bifu upya baada ya hivi karibuni Flora kudaiwa kumtolea maneno (hayaandikiki gazetini wala mitandaoni) aliyekuwa mumewe, Mbasha ambayo yalisambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii na kuzua gumzo.

“Yaani mambo siyo mambo kwani Flora na Mbasha kwa sasa bifu limeanza upya kama zamani wakati wanaachana baada ya mwanamama huyo kudaiwa kutoa maneno mabaya ambayo yalimuudhi Mbasha naye kuamua kufunguka kwenye vyombo vya habari.



“Kwenye habari hiyo mitandaoni ilionesha Flora alizungumza maneno hayo yanayosemekana yamo kwenye kitabu chake ambacho kimeshatoka kinachoitwa Siri za Flora Mbasha, maneno ambayo alisema ndiyo chanzo cha ndoa yake kuvunjika.

“Inasemekana aliwaita watu kupata ufafanuzi zaidi kwenye kitabu chake licha ya kwamba Flora baada ya habari kusambaa mitandaoni alikanusha kuwa hakuwahi kusema maneno yale,” kilisema chanzo.

Baada ya kupata habari hiyo kutoka kwa chanzo, Ijumaa Wikienda lilimtafuta Mbasha ambaye alionekana kuwa mwenye hasira kali akisema:

“Sipendi ujinga kwani watu hawawezi kuuza hicho kidaftari chao mpaka watafute kiki kwangu? Mbona wengine wanauza vyao kwa utaratibu mzuri?

“Mimi ninaingiaje kwenye ishu za huyo Flora? Zaidi ya miaka mitatu sipo naye na ni mke wa mtu, ninamuomba atulie na akome kunitajataja.”

Kwa upande wa Flora alipotafutwa ili kujibu hayo aliendelea kusisitiza kuwa habari hizo za mtandaoni hazikuwa za kweli isipokuwa ni kweli kitabu chake hicho kimeshatoka na kinaelezea kiundani mambo aliyoyapitia kwenye ndoa yake na Mbasha kabla ya kuolewa na David Kusekwa

Salama...Zari Kunyanganywa Mali za ex Bilionea Mume wake

Pesa Hazijawahi Kumwacha Mtu 

Mambo huku Uganda Bado hayajatulia kuhusu Zari na Ndugu wa aliyekuwa mume wake Marehemu Ivan, Mgogoro wa Mali bado unaendelea , Website moja kubwa huko Uganda imeandika hivi:

Tofauti 8 Kati ya Wasichana na Wanawake...!!!



1. Wasichana wanatafuta wanaume wenye pesa ila Wanawake wanatafuta wanaume wanaojali na kupenda.

2. Wasichana hupima thamani ya wanaume wao kwa kuangalia ukubwa wa mifuko yao ila Wanawake hupima thamani ya wanaume wao kwa kuangalia kiwango cha busara na hofu ya mungu na kwa vipi wanajiheshimu mbele ya wapenzi wao.

3. Wasichana huvunja mahusiano kwa sabubu zisizo na mashiko ila Wanawake wana uvumilivu wakifahamu kwamba kila jambo hutokea kwa sababu.

4. Wasichana hufikilia kuhusu mambo yaliyopo sasa ila Wanawake hufikilia kuhusu yajayo.

5. Wasichana wanapenda kuwa na wanaume wengi wanaowafuata ila Wanawake wanafahamu sheria ya uhitaji (Vitu rahisi vina wateja wengi).

6. Wasichana wanahitaji pesa ili kununua make-ups ila Wanawake wanahitaji pesa kwa ajili ya kufanyia mipango ya maendeleo.

7. Wasichana huumizwa na mwanaume mmoja na kuwa na kinyongo na wanaume wote ila Wanawake wanajua kwamba wanaume wote sio sawa.

8. Msichana "anajifunza" ila Mwanamke "anajua

Jumapili, 23 Julai 2017

AINA 10 za Waume Ambao Wake zao Wanakereka Kuwa nao


1. Wanaojiona Kama Wafalme (King Husband).
HIi ni aina ya wanaume ambao hutaka kusujudiwa kama wafalme na hupenda kuwafanya wake zao kuwa kama watumwa. Hawafanyi chochote ndani ya nyumba kazi yao ni kutumatuma hata kama mke anaumwa atapaswa kuamka na kupika, wanataka waheshimiwe wao tu na mwanamke akikosea kidogo ni maneno au kipigo. Mwanamke hana kauli ndani na mume akiingia nyumbani ni kama bosi anavyoingia ofisini, wote kimya hakuna hata kuongea.

2. Wanaume Wanaojihisi Bado Hawajaoa (Bachelor Husband).
Hii ni aina ya wanaume ambao hawawashirikishi wake zao kwa chochote. Hufanya mambo kama vile bado hawajaoa, hutumia muda wao mwingi na marafiki zao wakifanya mambo ambayo mke hata hayajui mke anaweza kustukizia tu mume kanunua gari bila kumshirikisha na mume haonyeshi hata kujali kuweza kumshirikisha. Hajali kama ana mke na mda mwingi huutumia akiwa na marafiki kufanya mambo yasiyo na msingi ambayo hayana mnanufaa yoyote katika ndoa yake.

3. Wanaume Wenye Gubu (Acidic Husband).
Hawa hukasirika kila mara tena bila kua na sababu ya misngi, mambo hayaishi, kosa la mwaka juzi anaweza kukukasirikia leo. Wamemuudhi kazini hataki kusemeshwa na mnanuniwa nyinyi, mwanamke akiomba hela ya chakula ni shida ni kununa kutwa nzima, wanahasira na nirahisi kumpiga mke.

4. Mume Wa Kila Mtu (Genarel Husband).
 Hawa wanajifanya wasamaria wema, wanajali kila mwanamke, wanajali marafiki wakike wa mke na wakwao kuliko wanavyowajali wake zao. Mke anaweza kuwa na shida akasema hana hela lakini rafiki akampa. Wana marafiki wengi wakike na mara nyingi huwa hawaachani kabisa na ma X wao, wakiwalalamikia wanawasaidia kuliko hata wanavyowasidia wake zao wakati wakiwa na shida.

5. Wanaume Wanaojifanya Wagumu (Dry Husband).
Hawa wanajifanya wagumu sana, hawana yale mambo ya kimahaba na wao hujua kuwa ndoa ni kuleta chakula tu na kushughulika kitandani. Hakuna kuongea na hawajali hata hisia za mke, mke akiongea kwao wala hawajali wanajifanya ni vidume sana na wanaona mambo kama vizawadi, kupiga simu, kutuma sms, kusema nakupenda, kununua maua ni mambo ya kike, yaani hawaonyeshi juhudi yoyote kuwafurahisha wekea zao.

6. Wanaume Wanaopenda Kutumia Wake Zao (Panadol Husband).
Hawa huwa wanaume pale tu wanapokuwa na shida, wanakuwa na wake wazuri wanaowajali lakini wao wala hawajali. Wanapomhitaji mwanamke, wanapotaka mwanamke awafanyie kitu flani basi huja na maneno mazuri na hata kuleta vizawadi, wanajua udhauifu wa wake zao na huutumia kuwalaghai kuwatimizia mahitaji yao lakini wanapotimiziwa tu basi husahau hata kama wanawake, hawajali tena.

7. Wanaume Ambao Hawataki Kukua (Baby Husband).
 Bado wanatabia za kitoto, hawawezi kufanya maamuzi yao wenyewe mpaka kuuliza kwa ndugu zao, mtu kaoa lakini kila siku humpigia simu Mama yake kuuliza hiki na kile. Yaani wakiongea kitu na mke nilazima aulize ndugu kwanza ndiyo kipitishwa na mke akifanya kosaa kidogo kazi nikulinganisha mke na ndugu zake, mbona flani alifanya hivi, flani anaweza fanya zaidi na mambo kama hayo. Kwakifupi hawawezi kufanya maamuzi na mkewe, ndugu zake hasa Mama yake anakuwa kama shemeu ya ndoa.

8. Mume Mtalii (Visiting Husband).
Hawa wanakuja nyumbani kama wageni vile, mume ataihudumia familia yake kwa kila kitu lakini hawezi kuipa muda wake. Akirudi mke na watoto wamelala ni kugonga na hana sababu za msingi za kuchelewa, hata mwisho wawiki hupenda kutumia na marafiki au ndugu lakini si na mke. Hakuna kitu cha pamoja ambacho anafanya na mkewe au watoto wake, kila akiingia tu anakua na safari ya kutoka yaani hata atoke akakae nnje tu lakini si kukaa na mke au watoto.

9. Wanaume Wanaofuatilia Kila Kitu (Stalking Husband).
Hii ni aina ya wanaume ambao hufuatilia kila kitu, huchunguza kila kitu mwanamke anachofanya na hawampi pumzi. Akienda sehemu atachunguza anaenda na nani na alikutana na nani, huwa na wivu wa ajabu ajabu na kila saa huhisi wake zao ni wasaliti. Kila mtu mwanamke anayeongea naye wa jinsia tofauti huhisi ni mchepuko na hata marafiki wa mke wakike pia huhisi wanamkuwadia, kwakifupi hampi pumzi mwanamke.

10. Mwanaume Mbahili (Miserly Husband).
Huyu anaweza kuwa na hela lakini mbahili ajabu. Akimpa mwanamke hela atafuatilia matumizi yake mpaka senti ya mwisho, anafuatilia mpaka mambo ya jikoni. Sukari ikiisha naataka ajue iliisha ishaje na kila mara huhisi mke anamuibia hela labda akajenge kwao, huwa msumbufu sana na mgumu kutoa hela. Mwanamke akifikiria mchakato wa kuomba hela kwa mume hukata tamaa na wakati mwingine kuamua tu kukaa kimya na matatizo yake.