UJUMBE ALIOANDIKA EDWARD LOWASSA BAADA YA KUTIMIA MWAKA MMOJA TOKEA SIKU YA KUPIGA KURA
Uchaguzi Mkuu ulifanyika tarehe 25 Oktoba 2015 ambapo ulikuwa ni mmoja ya chaguzi zilizokuwa na ushindani mkubwa zaidi kuwahi kutokea Tanzania tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992.
Ikiwa leo ni mwaka mmoja tangu kufanyika kwa uchaguzi, watu wengi wameandika vitu tofauti kwenye mitandao ya kijamii wakijikumbusha hali ilivyokuwa ambapo baadhi waliweka picha na video za matukio mbalimbali ya Oktoba 25, 2015.
Aliyekuwa mgombea wa CHADEMA, Edward Lowassa kupitia ukurasa wake wa Facebook na Twitter ameandika ujumbe huu kwa Watanzania.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilimtangaza mgombea wa CCM, Dkt John Pombe Magufuli kuwa ndiye mshindi wa uchaguzi huo na aliapishwa Novemba 2, 2015 kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
UJUMBE ALIOANDIKA EDWARD LOWASSA BAADA YA KUTIMIA MWAKA MMOJA TOKEA SIKU YA KUPIGA KURA
Reviewed by Unknown
on
11:17:00
Rating:
Hakuna maoni: