Jumatano, 11 Aprili 2018

HII NDIYO WILAYA YENYE IDADI KUBWA YA MAKAHABA...DANGURO KUBWA ZAIDI LABORESHWA

Wasanii wa michoro wasiokubali jinsia ya maumbile yao wamekuwa wakiipatia sura mpya ya michoro ya rangi za kuvutia wilaya yenye idadi kubwa ya makahaba ya Sonagachi iliyopo katika jiji lililopo mashariki mwa India la Kolkata (zamani likiitwa Calcutta).

Ikisemekana kuwa wilaya yenye idadi kubwa zaidi ya mahahaba bara Asia, Sonagachi ni wilaya yenye mitaa yenye barabara nyingi nyembamba na njia za uchochoroni kati kati mwa jiji la Kolkata, ikiwa ni makazi ya makahaba takriban 11,000.

Wakifanya kazi kwa ushirikiano na wasanii wenye makao yao Bangalore, wasanii wa michoro wasiokubali maumbile yao ya jinsia (transgender) walichora michoro kwenye michoro ya rangi za kuvutia kwenye baadhi ya majengo kama sehemu ya kampeni ya kuhamasisha umma kuhusu haki za makahaba na pia kujaribu kuzuia unyanyasaji dhidi ya wanawake.

Uchoroji wa michoro hii ulichukua muda wa wiki nzima

Mengi kati ya madanguro haya yamechakaa

Kuta katika mtaa wenye majengo yaliyosongamana pia zilipakwa rangi.
Kuna mipango ya kuyapaka rangi majengo zaidi katika wilaya ya Sonangachi.

Ukahaba umesalia kuwa tatizo kubwa kwa India, ambako wanawake milioni tatu wanaaminiwa kufanya biashara ya ukahaba.


Picha ya jengo lenye mchoro katika mtaa wa Sonangachi wa makahaba katika wilaya ya Kolkata.

Picha hiyo inaonyesha mchoro uliochorwa kwenye jengo la chama cha ushirika cha makahaba.

Hapa wapitanjia na wafanyabiashara wanaonekana kwenye moja ya jengo lililopigwa rangi.
.Wapita njia wa Kihindi wakipita kwenye mtaa wa madanguro ya makahaba yenye michoro katika wilaya ya Sonangachi jijini Kolkata

MTOTO WA MIAKA 8 ABAKWA NA WAJOMBA ZAKE WATATU

Jeshi la Polisi kwenye jimbo la Nyamira nchini Kenya wamemuokoa mtoto wa kike wa miaka nane ambaye anadaiwa kubakwa na wajomba zake watatu na kuambukizwa ugonjwa wa zinaa.

Binti huyo ambaye anaishi na bibi yake aliokolewa na polisi baada ya jirani kutoa taarifa kwa polisi kuhusu kilichokuwa kinaendelea.

Inaripotiwa kuwa bibi wa mtoto pia anashikiliwa na polisi kwa kosa la kujua kitendo watoto wake walichokuwa wanamfanyia mjukuu wake bila kutoa taarifa polisi.


UKamishna wa Polisi jimboni hapo Isaiah Nakoru ameeleza kuwa washtakiwa hao wanne wanashkiliwa na polisi huku wakisubiri kupelekwa mahakamani huku mtoto akipelekwa idara ya watoto

JINSI WANAWAKE WALIOTELEKEZWA WALIVYOGEUKA "DILI' KWA MAKONDA

Unaweza kusema mgeni njoo mwenyeji apone. Ndivyo inavyotokea muda huu nje ya ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda baada ya kuibuka kwa wafanyabiashara wanaowauzia chai na vitafunwa wanawake wenye watoto ‘waliotelekezwa’ na waume zao.


Wanawake hao tangu juzi wamekuwa wakiripoti katika ofisi hizo kupata msaada wa kisheria baada ya kutelekezwa na waume zao.

Leo Jumatano Aprili 11, 2018 MCL Digital imepiga kambi kuanzia saa 12 asubuhi na kushuhudia wafanyabiashara hao ndogondogo wakiwauzia chai na vitafunwa wanawake waliofika katika ofisi hizo.

Wanawake kwa vijana waliobeba chupa za chai na uji walionekana kuhudumia eneo hilo huku wengine wakiwa na ndoo za vitafunwa.

Wenye watoto walihangaika kuwapatia chochote wakati wakisubiri wanasheria wa walioandaliwa na ofisi ya Mkuu wa Mkoa waanze kuwasikiliza.

Mmoja wa wafanyabiashara Salim Juma amesema zoezi hilo limeleta neema kwao.

"Tulikuwa tunazunguka mtaani kutafuta wateja ila ndani ya siku mbili hizi mambo mazuri mzigo unaisha hapa hapa," amesema Salim anayeuza vitumbua

Message kali za mapenzi kwa umpendae...


Kuna miezi 12 katika mwaka…siku 30 katika mwezi…siku 7 katika wiki, masaa 24 katika siku…dakika 60 katika saa……lakini wewe ni mmoja tu maishani mwangu.
****
I asked God for a rose and He gave me a garden. I asked God for a drop of water and He gave me an ocean. I asked God for an angel and He gave me you!
****
Kuna vitu viwili zinavyoniamsha asubuhi na mapema: Alamu ya saa yangu na wewe
*****
I will walk with you side by side for only one condition: hide your wings every time we walk together because the whole world might know that you're my angel!

****
Bongo zenye fikra kali huwa na mawazo, suluhu na sababu; ubongo wa kisayansi huwa na kanuni, nadharia na takwimu; wangu una wewe tu!
****
Do you take me to be your lawfully wedded text mate, in sickness or in health, through metering or not, till low bat do us part?
****
Penzi linaweza kuelezewa kwa namna nyingi. Namna moja niijuayo nikumtumia mapenzi hayo mtu asomaye meseji hii.
****
Each of us is an angel with one wing. The only way we could fly is to hold each other and share wings. So if you have trouble flying, I will always share mine with you.
****

Kama ningeweza kubadili herufi, ningeweka yangu na yako kuwa pamoja.
****
Minsan caring is better than loving. Minsan tea is better than coffee. Minsan smile is better than laughter. Pero nobody is better than you.
****
Umewekwa usiku ili tuweze tuukubali mchana, huzuni ili tuikubali furaha, ubaya ili tuukubali uzuri, wewe ili niyakunali mapenzi.
I don't want to say I miss you, though deep inside I do, coz I'm afraid you might see thru and know how much fear I have of losing someone like you.
****
Unaonekana kung’ara leo nilijuaje…….ni kwasababu unaonekana hivyo kila siku
****
You greeted me hi, I didn't reply. You gave me a sweet smile, I responded with a sigh. You showed me your love, you received a shrug. But when you bid goodbye I began to cry.
****
I have heard from the phone company, the water company, the electric company, but haven't heard from you. Too bad, it's your company I love the most.
****
Mapenzi ni nini? Wale wasiopenda huita majukumu, wale wanaoyachezea huita mchezo, wale wasiokuwa nayo huita ndoto, na wale wanaoelewa huyaita mwisho wa safari, na mimi, mwisho wangu ni wewe.
****
I've been wondering why you're not texting... Multiple choices: a. busy b. dilemma c. tired d. thrifty e. want me to miss you.
****
Love is something special, a treasure I want to find... To others, love is blind but for me, its not true, coz when I fell in love...I saw you.
****
Ni mapenzi gani yanayofanya simu yako ilie kila nitumapo meseji?
****
True love is hard to find, special one, one of a kind. I know because it appeared to me on a strange day I met you.
****
Kama mapenzi huweza kukimbiwa kwa kufumba macho yetu tu, basi nisingefunika macho kabisa. Sitaki sekunde ipite bila kukupenda wewe.
****
While you gave her flowers, you gave me thorns. While all she did was smile, all I did is mourn. While she was so happy, I felt so blue. Because while you loved her, I was loving you.
****
Nilikuwa nikifiria kwamba ndoto haziwezi kuwa kweli, lakini nilibadili mawazo yangu pale tu nilipokuona wewe.
****
Baadhi ya watu huzaliwa na vipaji. Huweza kufanya mambo mazuri kwa ujuzi wao, lakini hamna anayekufikia wewe, kwani ukinisogelea tu kila kitu huwa kizuri.
****